Mizuka ya #wasafifestival2018 na list ake ya wasanii konki ambao watashambulia ya jamuhuli pande za morogoro tarehe 2 ni pamoja na bell9,dudubaya,linah,gigy money,country boy,cheen bees,afande sele,ice boy,khadija kopa,moni central zone,young killer,niki mbishi,stereo,dullyskys,juma nature,one incredible pamoja na kundi zima la WCB WASAFI
1. Ni nchi kamili yenye mamlaka kamili. Ina mfumo wake wa posta, fedha na ulinzi. 2. Iko ndani ya mji wa Roma kwenye nchi ya Itali. 3. Utawala wa Vatican ni wa kidini na mkuu wa nchi ni papa. 4. Vatican imezungukwa na ukuta. 5. Ni nchi yenye watu wachache zaidi duniani HUU NI MJI MKUU WA VITICAN